Back to home

Ibrahim Ndung’u na bintiye Mariam watwaa ubungwa kwenye mashindano ya ulengaji shabaha

video
June 16, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mlengaji shabaha mahiri wa Kenya Ibrahim Ndung'u pamoja na bintiye Mariam Ibrahim waling'aa katika makala ya mwaka huu ya ulengaji shabaha ya Mombasa Extreme IPSC kiwango cha pili yaliyofanyika katika klabu ya Bamburi Rifle jijini Mombasa...