Back to home

Mvutano kati ya wakaazi waliofurushwa mtaani Woodley na kaunti ya Nairobi waendelea

video
June 16, 2025
about 17 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakaazi waliofurushwa mtaa wa Woodley wameandamana leo wakiendelea kulalamikia kufurushwa kinyume na sheria. Kulingana nao, wahuni wanaotumwa kuwavuruga wamekuwa wakiwatishia kwa mtutu wa bunduki huku wakidai kuwa na hati miliki pamoja na amri ya mahakama kuhalalisha kuwepo kwao ..