Mvutano kati ya wakaazi waliofurushwa mtaani Woodley na kaunti ya Nairobi waendelea
About this video
Wakaazi waliofurushwa mtaa wa Woodley wameandamana leo wakiendelea kulalamikia kufurushwa kinyume na sheria. Kulingana nao, wahuni wanaotumwa kuwavuruga wamekuwa wakiwatishia kwa mtutu wa bunduki huku wakidai kuwa na hati miliki pamoja na amri ya mahakama kuhalalisha kuwepo kwao ..