Tundu Lissu aruhusiwa kujiwakilisha mahakamani
About this video
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu ameiambia mahakama kuwa atajiwakilisha mwenyewe kwenye kesi ya uhaini inayomkabili. Lissu ameiambia mahakama kuwa haki zake za kimsingi kupata uwakilishi zimekiukwa na hata budi kujiwakilisha. PIA AMESEMA kuwa amekuwa akichunguzw..