Back to home

Tundu Lissu aruhusiwa kujiwakilisha mahakamani

video
June 16, 2025
about 17 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu ameiambia mahakama kuwa atajiwakilisha mwenyewe kwenye kesi ya uhaini inayomkabili. Lissu ameiambia mahakama kuwa haki zake za kimsingi kupata uwakilishi zimekiukwa na hata budi kujiwakilisha. PIA AMESEMA kuwa amekuwa akichunguzw..