Back to home

Maandamano: Mwanamume aliyetambuliwa na mashahidi kama mchuuzi wa barakoa apigwa risasi na polisi

video
June 17, 2025
16 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mwanamume aliyetambuliwa na mashahidi kama mchuuzi wa maski ambaye alikuwa anawauzia waandamanaji barakoa hizo alipigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya kudai haki kwa mwanablogu na mwalimu Albert Ojwang Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and eve..