Back to home

Wanasiasa wakongwe waapa kuungana na vijana kudai haki kwa Albert Ojwang.

video
June 17, 2025
5 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baadhi ya wanasiasa wakongwe nchini wakiongozwa na wakili Gitobu Imanyara wameapa kuwa wataungana na vijana katika maandamano iwapo serikali itashindwa kutekeleza kwa haraka haki kwa Albert Ojwang. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the..