Back to home

Nakuru: Wadau wa michezo wakosoa uamuzi wa kutumia Afraha Annexe nyumba za bei nafuu

video
June 17, 2025
about 14 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Washikadau wa spoti katika kaunti ya Nakuru wameshutumu mpango wa kaunti kutumia kipande cha ardhi cha Afraha Annexe kwa mradi wa nyumba za bei nafuu, kufuatia ujumbe uliochapishwa kwenye mtandao wa kaunti ya Nakuru siku chache zilizopita. Subscribe to NTV Kenya channel for late..