IG Kanja awasimamisha kazi kwa muda maafisa wanaohusishwa na kumpiga risasi Boniface Kariuki
About this video
Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja amewasimamisha kazi kwa muda, maafisa wawili wa polisi, wanaohusishwa na kumpiga risasi Boniface Kariuki wakati wa maandamano Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussi..