Back to home

Maafisa wa polisi Nakuru wadaiwa kuwaibia raia

video
June 18, 2025
about 19 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wa polisi Nakuru sasa wadaiwa kuwaibia raia peupe tena mchana. Mfano ni David Ng'ang'a aliyeibiwa pikipiki yake Ijumaa usiku wiki iliyopita na alipoenda kuripoti tukio hilo kituoni aliwakuta waliomvamia wakiwa kwenye sare za kazi. Subscribe to NTV Kenya channel for lates..