Back to homeWatch Original
Maafisa wa polisi Nakuru wadaiwa kuwaibia raia
video
June 18, 2025
about 19 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Maafisa wa polisi Nakuru sasa wadaiwa kuwaibia raia peupe tena mchana. Mfano ni David Ng'ang'a aliyeibiwa pikipiki yake Ijumaa usiku wiki iliyopita na alipoenda kuripoti tukio hilo kituoni aliwakuta waliomvamia wakiwa kwenye sare za kazi. Subscribe to NTV Kenya channel for lates..