Back to homeWatch Original
Mohamed Shidiye aidhinishwa na ukoo wa Rer Ali kutoka auliyan
video
June 19, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Katika eneo bunge la lagdera wazee kutoka ukoo wa Rer Ali kutoka Auliyan walimuidhinisha Aliyekuwa Balozi ya Kenya nchini Bostwana Mohamed Shidiye kuwania kiti Cha ugavana mwaka 2027 kaunti ya garissa..