Back to homeWatch Original
Vikao vya uchunguzi wa mauaji ya Rex Masai vimeendelea leo mahakamani
video
June 19, 2025
7 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Vikao vya uchunguzi wa mauaji ya Rex Masai wakati wa maandamano ya Gen z ya Juni mwaka jana vimeendelea leo mahakamani, huku aliyekuwa kamanda wa polisi kituo cha Central jijini Nairobi, Dorris Mugambi akikana kuhusika kwa polisi wa kituo hicho katika mauaji ya kijana huyo. Ushah..