Maafisa wa polisi waliomshambulia na mmoja kumpiga risasi Boniface Kariuki kuzuiliwa KWA SIKU 15
About this video
Maafisa wawili wa polisi Klinzy Barasa na Duncan Kiprono ambao walionekana wakimshambulia mchuuzi wa barakoa jijini Boniface Kariuki na mmoja wao kumpiga risasi ya kichwani watazuiliwa katika kituo cha polisi cha Capitol Hill kwa siku 15. Subscribe to NTV Kenya channel for lates..