Back to home

Mshukiwa Mkuu wa Mauaji ya Grace Nafula aliyekuwa na ujauzito wa miezi mitatu Afikishwa Mahakamani

video
June 19, 2025
about 12 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanafunzi wa kidato cha pili Grace Nafula aliyekuwa na ujauzito wa miezi mitatu kutoka eneo bunge la Navakholo, kijiji cha Lutaso amefikishwa mahakamani mjini Kakamega. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the ..