Back to home

Wamijikenda, wapemba wazozana baada ya mvuvi kuuawa

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 20, 2025
5mo ago
Katika juhudi za kuimarisha uhusiano kati ya wavuvi, wenyeji na wale wa jamii ya kipemba katika eneo la Mnarani, kaunti ya Kilifi, serikali kupitia kamati ya usalama wa eneo hilo na washikadau mbali mbali imeandaa kikao cha amani.
Advertisement