Back to homeWatch Original
Kinara wa ODM asikitishwa na kubatilishwa kwa kandarasi ya Adani
video
June 20, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kinara wa ODM Raila Odinga ameeleza kusikitishwa kwake na kufutiliwa mbali na mradi wa kampuni ya Adani wa kujenga na kukarabati uwanja wa ndege wa JKIA akisema hatua hiyo imenyima taifa nafasi ya kuimarisha uchukuzi wake wa ndege...