Rigathi avamia Meru na Linturi katika msako wa viongozi wa Mlima
About this video
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ameendelea na vuna vuna yake ya viongozi wa eneo la mlima Kenya hivi karibuni kuonekana akitembea naye ni aliyekuwa waziri wa kilimo Mithika Linturi ambaye amemkaribisha Meru. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news toda..