Back to home
Familia za Gen Z kuandamana, kuweka maua nje ya Bunge
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 20, 2025
8mo ago
Familia za vijana waliouawa wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka uliopita, watafanya maadamano na kuweka maua nje ya Bunge, ambapo waathiriwa wengi walifariki, ikiwa ni ishara ya kumbukumbu zao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement





