Familia za Gen Z kuandamana, kuweka maua nje ya Bunge
About this video
Familia za vijana waliouawa wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka uliopita, watafanya maadamano na kuweka maua nje ya Bunge, ambapo waathiriwa wengi walifariki, ikiwa ni ishara ya kumbukumbu zao. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told..