Back to home

Familia za Gen Z kuandamana, kuweka maua nje ya Bunge

video
June 20, 2025
about 9 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia za vijana waliouawa wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka uliopita, watafanya maadamano na kuweka maua nje ya Bunge, ambapo waathiriwa wengi walifariki, ikiwa ni ishara ya kumbukumbu zao. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told..