Back to home

Wapuliza kipenga wa FIFA waridhishwa na mafunzo ya FKF Dandora Nairobi

video
June 20, 2025
about 8 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wapuliza Kipenga wa FIFA Josephine Wanjiku na Badir Yasin wameridhishwa na mafunzo ambayo walipokea katika uwanja wa Dandora hapa jijini Nairobi. Mafunzo hayo yaliyofanikishwa na shirikisho la kandanda humu nchini FKF yaliwanufaisha marefarii wanaoibuka na Wazoefu. Subscribe an..