Wapuliza kipenga wa FIFA waridhishwa na mafunzo ya FKF Dandora Nairobi
About this video
Wapuliza Kipenga wa FIFA Josephine Wanjiku na Badir Yasin wameridhishwa na mafunzo ambayo walipokea katika uwanja wa Dandora hapa jijini Nairobi. Mafunzo hayo yaliyofanikishwa na shirikisho la kandanda humu nchini FKF yaliwanufaisha marefarii wanaoibuka na Wazoefu. Subscribe an..