Back to home

Serikali ya kaunti ya Bungoma kuimarisha vipaji vya vijana

video
June 23, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa elimu kaunti ya Bungoma mhandisi Agnes wachiye amehakikishia vijana katika kaunti hiyo kwamba serikali ya gavana Kenneth Lusaka imeweka mikakati ya kupiga jeki vipaji miongoni mwa vijana kwa kujenga viwanja vya michezo ambavyo vitawasadia kukukuza talanta zao..