Back to home
Vijana washauriwa kufanya maandamano ya Amani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 23, 2025
1y ago
Viongozi mbali mbali kutoka kaunti ya Homa bay wamewarai vijana wanaonuia kushiriki maandamano ya ukumbusho wa mwaka Moja tangu wenzao wauwawe kwenye maandamano ya Gen Z mwaka uliopita, kudumisha amani na kutoleta fujo na uharubifu wa mali wakati wa maandamano yao.
Advertisement
Advertisement




