Mashirika ya Uanaharakati Yalaumu Serikali kwa Kupuuza Kilio cha Waathiriwa wa Ukatili wa Polisi
About this video
Mashirika ya uanaharakati, Ukweli Party na Kongamano la Mapinduzi yamelaumu serikali kwa kupuuza kilio cha haki cha waathiriwa wa ukatili wa polisi na wahuni katika maandamano ya Juni 25 mwaka jana Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the..