Back to home

Mashindano ya dunia ya gofu baina ya majeshi yafunguliwa rasmi Diani

video
June 23, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mkuu wa majeshi ya Kenya, Jenerali Charles Kahariri, ameyafungua rasmi makala ya 16 ya mashindano ya dunia ya gofu baina ya majeshi, ambayo yataanza hapo kesho katika uwanja wa Diamond mjini Diani, kaunti ya Kwale. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ..

Mashindano ya dunia ya gofu baina ya majeshi yafunguliwa rasmi Diani (Video)