Mradi wa Bwawa la Thwake wakamilika kwa asilimia 94.2, watarajiwa kuchukua mwaka mmoja zaidi
About this video
Mradi wa Bwawa la Thwake, ambao sasa umekamilika kwa asilimia 94.2, unatarajiwa kuchukua mwaka mmoja zaidi kukamilika rasmi na hivyo kuongeza muda wa utekelezaji takriban miaka kumi tangu kuanzishwa kwake. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday...