Back to home

Machakos: Naibu Gavana Mwangangi ataka vijana wa Gen Z walindwe katika maandamano ya Juni 25

video
June 23, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Naibu gavana wa kaunti ya Machakos Francis Mwangangi ameitaka serikali kuwalinda vijana wa Gen Z wakati wa maandamano yaliyopangiwa tarehe 25 Juni ya kuwakumbuka vijana waliouawa wakati wa maandamano ya mwaka jana. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ..