Back to home

Joshua stevens na Abigail Wanjiku waliouawa Mwiki wafanyiwa uchunguzi wa mauti

video
June 23, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kijana Joshua Stevens aliyeuawa ijumaa wiki jana wakati wa vurumai eneo la Mwiki aliaga dunia kwa athari za risasi. Upasuaji wa maiti umebaini haya huku pia ukiripoti kuwa Abigail Wanjiku aliuawa kwa kupigwa na kifaa butu kichwani kisha kunyongwa na kubakwa. Familia za waathiriwa..