Back to home

Mkataba wa kusambaza dawa za Anemia Selimundu Nyanza

video
June 24, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kaunti ya Kisumu ndio ya hivi punde kutia saini mkataba wa makubaliano na kampuni moja ya Marekani ya Yunigen ya kusambaza dawa za kusiaidia tiba ya anemia selimundu na magonjwa mengine Katika hafla ya kutia sahii mkataba huo Jijini Kisumu, Gavana wa Kisumu, Peter Anyang Nyong"o ..