Daktari Oluga ataka mswada wa afya kupitishwa kukabili makosa ya matibabu
About this video
Katibu mkuu katika wizara ya afya Daktari Ouma Oluga analitaka bunge kupitisha mswada wa ubora wa huduma za afya na usalama wa mgonjwa, ili kupunguza visa vya utambuzi na utoaji wa dawa usio sahihi, ambao umefikia asilimia 31. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan new..