Back to homeWatch Original
Baadhi ya ahadi hazijatimizwa na Rais Ruto tangu Juni 25
video
June 24, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mwaka mmoja baada ya maandamano ya Gen Z, baadhi ya ahadi zilizotolewa na Rais William Ruto zilionekana kuwa za kutuliza makali tu, serikali ikikosa kutimiza ahadi hizo. Licha ya serikali kuahidi haki kwa zaidi ya watu 60 waliouawa wakati wa maandamano hayo, familia zilizowapotez..