Back to home

Familia bado zinasubiri haki mwaka mmoja baadaye kutokana na majeraha ya maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 24, 2025
1y ago
Licha ya ahadi za fidia kwa waathiriwa wa maandamano ya mwaka jana, familia hizi bado zimesalia bila majibu yoyote. Katika kaunti ya Kirinyaga, familia ya John Mwangi imesalia na upweke, baada ya kijana wao kuaga dunia kutokana na majeraha ya moto aliyopata wakati wa maandamano.
Advertisement