Back to home

Kipsitet: Wakaazi walalamika kuhusu barabara mbovu

video
June 24, 2025
about 16 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa Kipsitet katika Eneo Bunge la Soin-Sigowet wameelezea hasira zao dhidi ya Mbunge wao, Justice Kemei, kwa kushindwa kukarabati barabara ya Chepsengeny-Kapsorok licha ya kuahidi kufanya hivyo wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2022. Subscribe to NTV Kenya channe..