Back to home

Akina mama na wasichana wa Pokot waanza kumiliki mifugo na biashara

video
June 24, 2025
about 10 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Akina mama na wasichana wenye umri wa miaka kati ya 18–35 katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameandika historia mpya kwa kuanza kufanya biashara, kununua na kumiliki mifugo, kufungua akaunti kwenye benki na sasa wanajitegemea na kujiimarisha kiuchumi. Subscribe to NTV Kenya cha..