Back to home

Watu 6 wameuawa na mamia wengine wakijeruhiwa kwenye siku ya maandamano ya vijana wa Gen Z

video
June 25, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu 6 wameuawa na mamia wengine wakijeruhiwa kwenye siku ya maandamano ya vijana wa Gen Z kuadhimisha mwaka mmoja baada wenzao zaidi ya 60 kuuawa mwaka jana. Waliouawa walipigwa risasi na maafisa wa usalama kwenye sehemu kadhaa nchini. Hii ni kufuatia makabiliano kati ya maafisa..