Watu 6 wameuawa na mamia wengine wakijeruhiwa kwenye siku ya maandamano ya vijana wa Gen Z
About this video
Watu 6 wameuawa na mamia wengine wakijeruhiwa kwenye siku ya maandamano ya vijana wa Gen Z kuadhimisha mwaka mmoja baada wenzao zaidi ya 60 kuuawa mwaka jana. Waliouawa walipigwa risasi na maafisa wa usalama kwenye sehemu kadhaa nchini. Hii ni kufuatia makabiliano kati ya maafisa..