Maafisa wa polisi kuwazuia waandamanaji kufika katika ikulu ya Nairobi.
About this video
Maafisa wa polisi walijitahidi juu chini kuwazuia waandamanaji kufika katika ikulu ya Nairobi. Maafisa hawa wa usalama walitumia vizuizi vya nyaya za wembe, magari maalum, na maafisa wengi wa polisi kuzingira ikulu, majengo ya bunge na afisi za idara ya mahakama...