Back to home

Rais William Ruto awaonya vijana wa Gen Z

video
June 25, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maandamano ya ukumbusho wa Vijana wa Gen Z yalipokuwa yakiendelea maeneo mbalimbali nchini, Rais William Ruto, ambaye alikuwa mjini Kilifi katika hafla ya Mazishi amewashauri vijana waliokuwa wakiandamana kutii sheria ata wakati wanapojieleza barabarani. Hafla hiyo pia ikihudhuri..