Back to home
Serikali yasema maandamano yalikuwa ni ya kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)June 26, 2025
11mo ago
Serikali sasa inasema maandamano ya Gen z ya hapo jana yalikuwa majaribio ya kupindua serikali. Waziri wa usalama wa Kitaifa Kipchumba Murkomen akisema baadhi ya wanasiasa walifadhili maandamano hayo katika juhudi za kuondoa serikali ya Rais Ruto mamlakani.
Advertisement
Advertisement





