Back to homeWatch Original
Serikali yasema maandamano yalikuwa ni ya kisiasa
video
June 26, 2025
about 4 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Serikali sasa inasema maandamano ya Gen z ya hapo jana yalikuwa majaribio ya kupindua serikali. Waziri wa usalama wa Kitaifa Kipchumba Murkomen akisema baadhi ya wanasiasa walifadhili maandamano hayo katika juhudi za kuondoa serikali ya Rais Ruto mamlakani...