Back to homeWatch Original
Fununu za kuwepo kwa makataa ya kutoka nje (curfew) yakera wakaazi wa Nakuru
video
June 27, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakaazi wa kaunti ya Nakuru wanaishi Kwa uoga kutokana na hofu kwamba Kuna makataa ya kutotoka nje kuanzia saa moja Jioni, huku vyombo vya usalama vikisalia kimya Kuhusu swala hili iwapo ni ukweli au uongo...