Back to home

Rais Ruto aonya dhidi ya jaribio la kulizamisha taifa baada ya machafuko

video
June 27, 2025
about 12 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika hotuba yake ya kwanza baada ya machafuko yalioambatana na maandamano ya Jumatano, Rais William Ruto ameonya dhidi ya jaribio la kulizamisha taifa, akisema kuwa hakuna atakayesazwa iwapo Kenya ingezama. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and e..