Maandamano ya Jumatano yachochea wito wa uwajibikaji na kukabili wahuni
About this video
Maandamano ya Jumatano yameendelea kuchochea wito wa uwajibikaji miongoni mwa maafisa wa polisi na hatua kuchukuliwa kwa wahuni ambao walisababisha uharibifu wa mali, uporaji na ghasia. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenya..