Back to home

Gor kuchuana na Nairobi United Jumapili uwanjani Ulinzi

video
June 28, 2025
about 6 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Timu ya Gor Mahia imekamilisha maandalizi yake ya fainali ya mchuano wa FKF dhidi ya Nairobi United Jumapili hii uwanjani ulinzi complex. Gor ambao walikosa taji la ligi kuu nchini kwa maafisa wa Police FC, wameahidi kujitolea asilimia mia moja ili kunyakuwa taji hilo. Wanachuana..