Back to homeWatch Original
Ugonjwa wa Bilhazia
video
June 30, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kwa muda mrefu ugonjwa wa Bilhazia umekuwa ukipuziliwa mbali katika maeneo tofauti nchini hali ambayo huenda ukachangia matatizo ya uzazi miongoni mwa waathiriwa endapo hautapewa uzito unaotashili na kutatuliwa kwa wakati unaofaa..