Back to homeWatch Original
Yuko wapi Ndiangui?
video
June 30, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maswali yameendelea kuhusu aliko mwanablogu Ndiangui Kinyagia huku sasa idara ya upelelezi ya DCI ikisema kwamba mwanablogu huyu hayuko mikononi mwa polisi. Kinyagia alitekwa nyara na watu wasiojulikana kutoka nyumbani kwake katika eneo la Kinoo siku kumi zilizopita na hadi leo h..