Back to home

Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi ameaga dunia

video
June 30, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi katikati ya jijini la Nairobi Boniface Mwangi Kariuki ameaga dunia. Kijana huyu wa miaka 22 amekuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya kenyatta kwa takriban majuma mawili. Madaktari hapo jana walikuwa wameiambia familia ku..