Back to homeWatch Original
Wanasiasa wa upinzani wanalaumu mauaji ya kiholela
video
June 30, 2025
about 6 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Viongozi wa upinzani wameendelea kuishutumu serikali kwa kushindwa kukomesha mauaji ya kiholela na visa vya utekaji nyara. Kwenye ziara yao mjii Narok, viongozi hao wakiongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua wameendelea kuishutumu idara ya polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi..