Back to home
Wanasiasa wa upinzani wanalaumu mauaji ya kiholela
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2025
12mo ago
Viongozi wa upinzani wameendelea kuishutumu serikali kwa kushindwa kukomesha mauaji ya kiholela na visa vya utekaji nyara. Kwenye ziara yao mjii Narok, viongozi hao wakiongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua wameendelea kuishutumu idara ya polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi
Advertisement
Advertisement



