Back to home

Soko la Suq Mugdi Garissa lateketea moto

video
June 30, 2025
about 6 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu watano wamejeruhiwa kufuatia mkasa wa moto katika soko moja la kibiashara mjini Garissa mapema leo Mamia ya wafanyabiashara wanakadiria hasara kufuatia moto huo ulioteketeza majumba ya biashara katika soko la suq mugdi mjini humo. Serikali ya kaunti na wakaazi walishirikian..