Back to home
Vijana washauriwa kufanya maandamano ya amani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2025
1y ago
Viongozi wa kisiasa na wale wa kidini katika kaunti ya Busia wamewakemea baadhi ya vigogo wa kisiasa wanaowachochea vijana kufanya maandamano na kutekeleza uharibifu wa mali kwa nia potovu ya kusambaratisha taifa kwa maslahi ya kibinafsi
Advertisement
Advertisement





