Back to home

Vijana washauriwa kufanya maandamano ya amani

video
July 1, 2025
4 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa kisiasa na wale wa kidini katika kaunti ya Busia wamewakemea baadhi ya vigogo wa kisiasa wanaowachochea vijana kufanya maandamano na kutekeleza uharibifu wa mali kwa nia potovu ya kusambaratisha taifa kwa maslahi ya kibinafsi..