Back to home

Polisi wanamzuilia mwanachama wa DCP baada ya kukamatwa huko Limuru

video
July 1, 2025
about 14 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Haya yalipokuwa yakijiri mahakamani, afisa mmoja wa chama cha DCP Peter Kinyanjui aliyekuwa amedaiwa kutekwa nyara ataendelea kuzuiliwa katika kituo cha Ruiku kaunti ya Kiambu. Familia ya Kinyanjui hapo jana ilidai kuwa watu walioaminika kuwa maafisa wa upelelezi walimchukua kuto..