Back to home

Wakulima wa kahawa Kirinyaga wadinda kuuza mazao

video
July 1, 2025
4 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakulima wa kahawa kutoka kaunti ya Kirinyaga sasa wamesema hawatouza mazao yao katika soko kuu, hadi pale serikali itasitisha mfumo mpya wa malipo. Wakulima kutoka maeneo ya Karithathi na Rung’eto walisema kuwa mfumo huo wa malipo ulioidhinishwa mwaka jana unakandamiza vyama v..