Back to home

Zaidi ya wanafunzi elfu 194 wapata nafasi vyuoni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 1, 2025
11mo ago
Asilimia 83 ya wanafunzi waliofuzu kujiunga na elimu ya juu wenye mtihani wa mwaka jana wa KCSE wamepata nafasi kwenye vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu. Waziri wa Elimu Julius Ogamba akisema kuwa, wanafunzi 194,000 kati ya 244,000 waliopata fursa kuingia vyuo vikuu na taasis
Advertisement