Back to home
Zaidi ya wanafunzi elfu 194 wapata nafasi vyuoni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2025
12mo ago
Asilimia 83 ya wanafunzi waliofuzu kujiunga na elimu ya juu wenye mtihani wa mwaka jana wa KCSE wamepata nafasi kwenye vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu. Waziri wa Elimu Julius Ogamba akisema kuwa, wanafunzi 194,000 kati ya 244,000 waliopata fursa kuingia vyuo vikuu na taasis
Advertisement
Advertisement





