Back to home

Passaris ataka waandamanaji kuzuiwa kufika bunge na ikulu

video
July 1, 2025
about 18 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mwakilishi wa kike wa Nairobi Esther Passaris ametetea mswada wake wa kurekebisha sheria ya maandamano nchini, unaolenga kudhibiti namna maandamano yanavyofanyika. Passaris akisema mswada wake unaolenga kukaza kamba ya maandamano utazuia maafa na uharibifu wa mali. Na kama anavyo..