Back to home
Passaris ataka waandamanaji kuzuiwa kufika bunge na ikulu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2025
10mo ago
Mwakilishi wa kike wa Nairobi Esther Passaris ametetea mswada wake wa kurekebisha sheria ya maandamano nchini, unaolenga kudhibiti namna maandamano yanavyofanyika. Passaris akisema mswada wake unaolenga kukaza kamba ya maandamano utazuia maafa na uharibifu wa mali. Na kama anavyo
Advertisement
Advertisement





