Walimu watishia kugoma kufuatia madai ya TSC kukosa kutekeleza mkataba wa maelewano wa 2021 - 2025
About this video
Muungano wa walimu nchini KNUT umetishia kuitisha mgomo wa walimu kufuatia madai dhidi ya TSC kukosa kutekeleza mkataba wa maelewano wa mwaka 2021 - 2025. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates,..