Back to homeWatch Original
| KILIMO BIASHARA | Mfugaji Machakos atia fora kupitia kondoo wa dorper
video
July 2, 2025
about 14 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mkulima mmoja amegeuza ardhi kame kuwa kitovu cha uzalishaji wa mifugo katika eneo la Matungulu, Katikati ya Kaunti ya Machakos. Bernard Wagitu, ambaye ni mfugaji wa kondoo aina ya Dorper amedhihirisha kuwa aina bora ya mifugo, na utumizi wa mbinu endelevu na ubunifu kwenye ufuga..